UTUNGAJI WA KAZI ZA FASIHI ANDISHI
Utungaji wa kazi za fasihi andishi nii mada inayogusa au inayohusu ubunifu wa maandishi.
Kubuni ni kutnga kisa kutokana na matukio ambayo mwandishi ana uzoefu nayo kupitia milango yake ya ufahamu.
Uwezo wa msanii kueleza visa vya uongo kutokana na matukio ya kweli kwa lengo la kuburudisha, kuelimisha, au kuakisi hali halisi ya jamii hiyo ni kutunga.
Kimsingi siku zote msanii hatungi kitu ambacho hakipo duniani bali hutunga kutokana na mambo yaliyomo ndani ya jamii husika.
No comments:
Post a Comment