Dhima za Tamthiliya

Dhima za Tamthiliya 
Tamthiliya ina dhima mbalimbali kwa jamii baadhi ya dhima hizo ni kama :
Kuelimisha jamii
Kutunza kumbukumbu (mali)za jamii
Kuonya na kuadabisha jamii
Kuhamasisha shughuli za kimaendeleo
Kuburudisha jamii

No comments:

Post a Comment

UTUNGAJI WA KAZI ZA FASIHI ANDISHI Utungaji wa kazi za fasihi andishi nii mada inayogusa au inayohusu ubunifu wa maandishi. Kubuni ni kutn...